Monday, December 27, 2010

GEORGE LILANGA WIVES AND CHILDRENS

         When he starts to make an important selection about his first wife, George Lilanga  declared to marry one amoung the beutifully lady from his fellow member of  Makonde tribe family, their marriage celemony was in traditional ways and in christianity law in the church.  a couple enjoyed marriage life in success, but trouble began after 15 years, until 1970s his wife escaped from G . LILANGA  home, this was as a  sorce to him to marry many another wives in his life..   LIFE HISTORY OF GEORGE  LILANGA IS VERY COMPLICATED ISSUE!   Who is responsible to finish this problem?   Who can tell us the truth?    how many G.LILANGA WIVES during his life time?   How many childrens of him?

Saturday, December 25, 2010

MAISHA NI SAFARI

    MAISHA YANGU YAMEKUWA KATIKA MTIRIRIKO NA CHANGAMOTO NYINGI SANA: Kwa  mwanadamu yeyote ambaye ana akili timamu ni wazi ataweza kukumbuka mambo mengi maishani mwake,  kuna matukio ya furaha na huzuni, wakati mwengine inakuwa vigumu kuona uhalisia wa mambo yajayo mbele, lakini kwa ujumla mwanadamu anapaswa kuwa na kumbukumbu ya historia yake maishani.Hili ni jambo muhimu na linapaswa kuzingatiwa kwa bidii. nchi yetu imeshindwa kuhifadhi historia za kweli za mashujaa wetu. nchi imechukuliwa na sahau,  mwandishi  SHAABAN ROBERT  aliliona hili mapema ukisoma  riwaya yake ya WASIFU WA SITY BINT SAAD utaona ukweli wa uzembe huu tulionao.                GEORGE LILANGA bado historia yake haijakamilika hata theluthi moja.  SWALI; Ni kweli HENDRICK LILANGA mjukuu wake atahitimisha mdahalo unaoendelea sasa juu ya historia ya kweli ya babu yake?    jee kitabu anachokiandaa sasa kuhusiana na  historia ya maisha ya babu yake kitaushangaza ulimwengu?  au nini tutegemee.  TUSUBIRI TUONE.

Tuesday, December 14, 2010

  Life situation of many Tanzania artists is very poor, although their art works are in abroad and sold in high price. WHY THIS LIFE SITUATION?  IS ANY ELEMENT OF EXPLOITATION IN ART BUSINESS?  PLEASE I NEED PERFECT ANSWERS...

Tanzania artists really life.

        GEORGE LILANGA and EDUARD SAID TINGATIGA  was really our warriors in art field in Tanzania, through their skills and natural knowledge, they created many artists who adopted their art styles. For more 30 years many paintings and sculptures were exported in abroad,and made high profity for those who collected it,but the families life situation of these artists is in great economical depression behind their death.   In general although many art works sold in high price abroad, the life situation of many artists in Tanzania is in main economical challenges,       Please  help them, as that they help you through their art works, which you bought from them.